Kiswahili Revision Questions and Answers
Maswali ya Fasihi Simulizi na Majibu Yake
Maswali ya Fasihi Simulizi1. Soma kisha ujibu maswali Lala mtoto lala x2Mama atakuja lalaAlienda sokoni lalaAje na ndizi lalaNdizi ya mtoto lalaNa maziwa ya mtoto
Maswali ya Insha za kawaida na Majibu Yake
Maswali ya Insha za kawaida1. Andika insha itakayotamatika na ….kweli dunia ni mwendo wa ngisi, ina masalata wengi.2. Elimu bila malipo nchini Kenya ina changamoto
Maswali ya Matumizi ya lugha na Majibu Yake
Maswali ya Matumizi ya lugha1. (a) Badilisha sentensi ifuatayo iwe mazoea kwa kutumia kirejeshi “O“ Mtoto anayelia huchapwa (b) Andika kinyume Wavulana watatu wanaingia
Maswali ya RIWAYA: UTENGANO: S.A. MOHAMMED na Majibu Yake
Maswali ya RIWAYA: UTENGANO: S.A. MOHAMMED1. ‘Pesa iweke mbele, Pesa mwanzo. Sisi tuna msemo wetu. Watose. Ndio, watose, maana sisi tumeshatoswa(a) Eleza muktadha wa dondoo
Maswali ya UFAHAMU na Majibu Yake
Maswali ya UFAHAMU1. Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali. Panografia ni tendo, maandishi, picha au michoro inaoonyesha au kueleza uchi wa mtu au vitendo vya
Maswali ya Insha za kiuamilifu na Majibu Yake
Maswali ya Insha za kiuamilifu1. Andika mahojiano baina ya mkuu wa wilaya na mwandishi wa habari kuhusu utovu wa usalama wilayani mwako. 2. Hali ya
Maswali ya TAMTHILIA: KIFO KISIMANI: KITHAKA WA MBERIA na Majibu Yake
Maswali ya TAMTHILIA: KIFO KISIMANI: KITHAKA WA MBERIA1. Kwa kurejelea tamthilia ya “Kifo Kisimani”, eleza jinsi utawala mbaya unavyoathiri jamii 2. Kwa kurejelea diwani ya Mayai
Maswali ya Ufupisho na Majibu Yake
Maswali ya Ufupisho 1. Soma taarifa hii kisha ujibu maswali Umaskini ni tatizo sugu katika jamii. Binadamu wengi hujikuta katika hali hii kwa sababu hawakubahatika kusoma.